The virus is native to parts of Africa and Asia, but it is now spreading locally outside of its native regions in people who have not traveled abroad. There is no vaccine or antiviral treatment for the virus
Wednesday, 20 January 2016
soma kuhusu ZIKA kirusi kipya kirusi kipya kinachosambazwa na mbu wa dengu
The virus is native to parts of Africa and Asia, but it is now spreading locally outside of its native regions in people who have not traveled abroad. There is no vaccine or antiviral treatment for the virus
HIZI NI SABABU KWA NINI MAMA MJAMZITO ANASHAURIWA KULA SAMAKI WABICHI MARA KWA MARA
Ulaji wa samaki wabichi kwa mama mjamzito husaidia kukuza ubongo na mfumo wa fahamu kwa mtoto aliyeko tumboni kutokana na kupata virutubisho aina ya mafuta ya omega-3 and omega-6 ambayo husaidia pia kuimarisha afya ya macho, tabia na mama mjamzito kujifungua kwa wakati.
Wednesday, 18 November 2015
TAMBUA SABABABU ZA KUUGUA U.T.I MARA KWA MARA NA UZIEPUKE.
Watu wengi husumbuliwa na ugonjwa wa U.T.I ambao ushambulia kibofu na mirija ya kupitisha mkojo mara kwa mara na kusababishiwa hathari kubwa ambazo ni ugonjwa kutokupona kabisa, kuoza, utasa na virusi vya ukimwi. zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo hupelekea mtu kutokupona anapotibiwa ugonjwa huu ambazo unaweza kuziepuka na kuepuka madhara makubwa:-
1. Kutokufanya usafi sehemu za siri na kuvaa nguo chafu au zenye unyevu.
2. Kutumia vyoo vya umma ambavyo si safi mara kwa mara
3. Kupulizia manukato sehemu za siri kujisafisha kwa sabuni zenye kemikali kali.
4. Kufanya ngono zisizo salama mara kwa mara.
5. Kutomaliza dose na dawa ulizoandikiwa na daktari baada ya kupata nafuu.
6. Matumizi ya dawa za kuzuia mimba pamoja na dawa zinazoshusha kinga ya mwili.
LIKE PAGE NA UNGANA NASI KWA MASWALI NA MAJIBU.
New 'Silent' Sexually Transmitted-Mycoplasma Genitalium.
So why don't you know about this? Possibly because more than 90 percent of the MG-positive men and more than half the women did not report any warning signs. However, among the women who experienced symptoms, bleeding after sex was their most common complaint.
Friday, 11 September 2015
Higher fish consumption beneficial for primary prevention of depression
Depression affects an estimated 350 million people worldwide, making it the world's leading cause of disability. As things stand, it is also projected to become the world's second leading cause of disease burden by 2020.
HIZI NI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA KISUKARI, ZITAMBUE NA EPUKA MAPEMA UGONJWA HUU HATARI.
KAMA UNASUMBULIWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UKOSEFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA.
SOMA KUHUSU UFADHILI MPYA WA UTAFITI BARANI AFRIKA
Effects of Gut bacteria to your weight, fat and good cholesterol level
"Our study provides new evidence that microbes in the gut are strongly linked to the blood level of HDL (good cholesterol) and triglycerides and may be added as a new risk factor for abnormal blood lipids, in addition to age, gender, BMI and genetics," said Jingyuan Fu, Ph.D., study lead author and associate professor of genetics at University Medical Center Groningen in the Netherlands.
Using state-of-the-art deep sequencing technology, researchers studied the association between gut microbes and blood lipid levels in 893 people in the Netherlands. They identified:
Friday, 28 August 2015
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Thursday, 27 August 2015
Saturday, 22 August 2015
Soma Madhara ya kufanya mapenzi kipindi cha Hedhi (Period)
MWANAMKE HUPASWI KUONA AIBU KUFANYA MAMBO HAYA.
KUFANYA KAZI BILA KUPUMZIKA HUKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA KIHARUSI NA MAGONJWA YA MOYO.
Monday, 10 August 2015
HII NI TAHADHARI KWA WAVUTA BANGI.
BOFYA HAPA KULIKE PAGE NA UNGANA NASI KILA SIKU KWA ELIMU YA AFYA.










