Wednesday, 20 January 2016

soma kuhusu ZIKA kirusi kipya kirusi kipya kinachosambazwa na mbu wa dengu

Zika virus is transmitted by the same Aedes mosquito that spreads dengue and chikungunya. Typically, it causes mild illness and a rash, but reports from Brazil suggest it may be causing birth defects in newborn babies of women who have had Zika.
The virus is native to parts of Africa and Asia, but it is now spreading locally outside of its native regions in people who have not traveled abroad. There is no vaccine or antiviral treatment for the virus

HIZI NI SABABU KWA NINI MAMA MJAMZITO ANASHAURIWA KULA SAMAKI WABICHI MARA KWA MARA


Ulaji wa samaki wabichi kwa mama mjamzito husaidia kukuza ubongo na mfumo wa fahamu kwa mtoto aliyeko tumboni kutokana na kupata virutubisho aina ya mafuta ya omega-3 and omega-6 ambayo husaidia pia kuimarisha afya ya macho, tabia na mama mjamzito kujifungua kwa wakati.

Wednesday, 18 November 2015

TAMBUA SABABABU ZA KUUGUA U.T.I MARA KWA MARA NA UZIEPUKE.

Watu wengi husumbuliwa na ugonjwa wa U.T.I ambao ushambulia kibofu na mirija ya kupitisha mkojo mara kwa mara na kusababishiwa hathari kubwa ambazo ni ugonjwa kutokupona kabisa, kuoza, utasa na virusi vya ukimwi. zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo hupelekea mtu kutokupona anapotibiwa ugonjwa huu ambazo unaweza kuziepuka na kuepuka madhara makubwa:-
1. Kutokufanya usafi sehemu za siri na kuvaa nguo chafu au zenye unyevu.
2. Kutumia vyoo vya umma ambavyo si safi mara kwa mara
3. Kupulizia manukato sehemu za siri kujisafisha kwa sabuni zenye kemikali kali.
4. Kufanya ngono zisizo salama mara kwa mara.
5. Kutomaliza dose na dawa ulizoandikiwa na daktari baada ya kupata nafuu.
6. Matumizi ya dawa za kuzuia mimba pamoja na dawa zinazoshusha kinga ya mwili.
LIKE PAGE NA UNGANA NASI KWA MASWALI NA MAJIBU.

New 'Silent' Sexually Transmitted-Mycoplasma Genitalium.

Slightly more than 1 percent of 4,500 participants tested positive for a sexually transmitted disease known as Mycoplasma genitalium (MG), a sample survey in the United Kingdom indicates. The real news about this STD, though, is it isn’t very "new." The infection-causing bacterium was first identified in the early 1980s.
So why don't you know about this? Possibly because more than 90 percent of the MG-positive men and more than half the women did not report any warning signs. However, among the women who experienced symptoms, bleeding after sex was their most common complaint.

Friday, 11 September 2015

Higher fish consumption beneficial for primary prevention of depression

"Higher fish consumption may be beneficial in the primary prevention of depression" the authors write. "Future studies are needed to further investigate whether this association varies according to the type of fish."
Depression affects an estimated 350 million people worldwide, making it the world's leading cause of disability. As things stand, it is also projected to become the world's second leading cause of disease burden by 2020.

HIZI NI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA KISUKARI, ZITAMBUE NA EPUKA MAPEMA UGONJWA HUU HATARI.

Zaidi ya robo tatu ya wagonjwa wa kisukari huwa na dalili na ishara  ambazo hushindwa kuzitambua mapema hivyo kukosa vipimo na matibabu ya mapema kukabiliana na tatzo hili. Zifuatazo ni ishara na dalili za awali zitakazokusaidia kujua kama unakabiliwa au uko katika hatari ya ugonjwa wa kisukari.

KAMA UNASUMBULIWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UKOSEFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA.

Kabla hutujafika mbali kama wewe hauna ndoa basi ishia hapa hapa. Elimu iliyopo ni kwa ajili ya walio ndoani tu. Wewe kijana nenda kacheza kiduku kwanza.

Kuna mambo mawili: Kwanza – Upungufu wa nguvu za kiume na, Pili – Ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.

SOMA KUHUSU UFADHILI MPYA WA UTAFITI BARANI AFRIKA

Hazina mpya ya kufadhili utafiti wa kisayansi imeanzishwa barani Afrika, huku kukiwa na wasi wasi kuwa utafiti unaofanyika barani kwa kiasi kikubwa hufanywa na watu kutoka Mataifa ya Magharibi.
Wafadhili wa mradi huo unaojulikana kama Muungano wa Kuimarisha Sayansi barani Afrika, Alliance for Accelerating Excellence in Science in Africa, (AESA), wanasema ukosefu wa uwekezaji katika secta ya Sayansi umehujumu maendeleo barani.

Effects of Gut bacteria to your weight, fat and good cholesterol level


"Our study provides new evidence that microbes in the gut are strongly linked to the blood level of HDL (good cholesterol) and triglycerides and may be added as a new risk factor for abnormal blood lipids, in addition to age, gender, BMI and genetics," said Jingyuan Fu, Ph.D., study lead author and associate professor of genetics at University Medical Center Groningen in the Netherlands.
Using state-of-the-art deep sequencing technology, researchers studied the association between gut microbes and blood lipid levels in 893 people in the Netherlands. They identified:

Friday, 28 August 2015

KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI SEHEMU ZA SIRI

Candida albicanas ni aina ya fangas wanaoweza kuathiri sehemu mbalimbali ya mwili wa binadamu. Mara nyingi hushambulia sehemu laini za mwili (mucuos membrane), pia wanaweza kuathiri ngozi na kusambaa kwenye damu hasa kwa wagonjwa wenyewe upungufu wa kinga.

Saturday, 22 August 2015

Soma Madhara ya kufanya mapenzi kipindi cha Hedhi (Period)

Kuhusu kujamiiana wakati wa hedhi; medically hakuna madhara yeyote yaliyothibitishwa kiafya kutokea kutokana na mtu/watu kujamiiana wakati wa hedhi, ISIPOKUWA zipo hatari zinazojulikana, nazo ni urahisi wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ukiwemao UKIMWI japo vitabu vya dini kama biblia inakataza kujamiana wakati wa hedhi.

MWANAMKE HUPASWI KUONA AIBU KUFANYA MAMBO HAYA.

Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanatakiwa kuyafanya huru, bila uoga na aibu kutokana na maumbile yao ambayo huwafanya kuwa na hofu katika maeneo mbalimbali-

KUFANYA KAZI BILA KUPUMZIKA HUKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA KIHARUSI NA MAGONJWA YA MOYO.

Tafiti zinaonyesha kuwa kufanaya kazi zaidi ya masaa 55 kwa week hukuweka katika hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi pamoja na magonjwa ya moyo na akili.

Monday, 10 August 2015

HII NI TAHADHARI KWA WAVUTA BANGI.

Utafiti unaonyesha kuwa kula maembe kabla na wakati wa kuvuta bangi huweza kusababisha madhara zaidi kwa kuogeza kasi ya utendaji kazi na kiwango chake katika mwili wa binadamu.
BOFYA HAPA KULIKE PAGE NA UNGANA NASI KILA SIKU KWA ELIMU YA AFYA.

Sunday, 9 August 2015

Mambo 5 muhimu ambayo mwanamke/msichana hutakiwi kuyaonea aibu.

Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanatakiwa kuyafanya huru, bila uoga na aibu kutokana na maumbile yao ambayo huwafanya kuwa na hofu katika maeneo mbalimbali-

Friday, 7 August 2015

Pombe inavoongezewa nguvu za kiume nchini China

Maafisa wanaohusika na ubora wa vyakula wanasema, watengenezaji wa Pombe nchini humo waliongeza dawa ya kuongeza nguvu za kiume yaani

Monday, 3 August 2015

Michezo ya TV, computer na simu ni hatari kwa watoto wako.

Michezo ya tv, kompyuta na simu kwa watoto wadogo mara kwa mara husababisha matatizo mengi shule na kuharibu uwezo wao wa kawaida (Intelligence) ikiwa ni pamoja na kushindwa, kijifunza kusoma vizuri na kwa haraka, kushindwa kutamka na kuandika maneno vizuri hata kama mwanzo alikuwa na uwezo huo.

Marriage causes dramatical decrease in heavy Alcohol drinking.

Wednesday, 29 July 2015

8-year-old boy receives new hands

Zion Harvey is the first child in the world to receive a double-hand and forearm transplant. A severe infection forced doctors to amputate both of Harvey’s hands and feet several years ago. He also received a kidney transplant.

.