Wednesday, 18 November 2015

TAMBUA SABABABU ZA KUUGUA U.T.I MARA KWA MARA NA UZIEPUKE.

Watu wengi husumbuliwa na ugonjwa wa U.T.I ambao ushambulia kibofu na mirija ya kupitisha mkojo mara kwa mara na kusababishiwa hathari kubwa ambazo ni ugonjwa kutokupona kabisa, kuoza, utasa na virusi vya ukimwi. zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo hupelekea mtu kutokupona anapotibiwa ugonjwa huu ambazo unaweza kuziepuka na kuepuka madhara makubwa:-
1. Kutokufanya usafi sehemu za siri na kuvaa nguo chafu au zenye unyevu.
2. Kutumia vyoo vya umma ambavyo si safi mara kwa mara
3. Kupulizia manukato sehemu za siri kujisafisha kwa sabuni zenye kemikali kali.
4. Kufanya ngono zisizo salama mara kwa mara.
5. Kutomaliza dose na dawa ulizoandikiwa na daktari baada ya kupata nafuu.
6. Matumizi ya dawa za kuzuia mimba pamoja na dawa zinazoshusha kinga ya mwili.
LIKE PAGE NA UNGANA NASI KWA MASWALI NA MAJIBU.

New 'Silent' Sexually Transmitted-Mycoplasma Genitalium.

Slightly more than 1 percent of 4,500 participants tested positive for a sexually transmitted disease known as Mycoplasma genitalium (MG), a sample survey in the United Kingdom indicates. The real news about this STD, though, is it isn’t very "new." The infection-causing bacterium was first identified in the early 1980s.
So why don't you know about this? Possibly because more than 90 percent of the MG-positive men and more than half the women did not report any warning signs. However, among the women who experienced symptoms, bleeding after sex was their most common complaint.

Friday, 11 September 2015

Higher fish consumption beneficial for primary prevention of depression

"Higher fish consumption may be beneficial in the primary prevention of depression" the authors write. "Future studies are needed to further investigate whether this association varies according to the type of fish."
Depression affects an estimated 350 million people worldwide, making it the world's leading cause of disability. As things stand, it is also projected to become the world's second leading cause of disease burden by 2020.

HIZI NI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA KISUKARI, ZITAMBUE NA EPUKA MAPEMA UGONJWA HUU HATARI.

Zaidi ya robo tatu ya wagonjwa wa kisukari huwa na dalili na ishara  ambazo hushindwa kuzitambua mapema hivyo kukosa vipimo na matibabu ya mapema kukabiliana na tatzo hili. Zifuatazo ni ishara na dalili za awali zitakazokusaidia kujua kama unakabiliwa au uko katika hatari ya ugonjwa wa kisukari.

KAMA UNASUMBULIWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UKOSEFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA.

Kabla hutujafika mbali kama wewe hauna ndoa basi ishia hapa hapa. Elimu iliyopo ni kwa ajili ya walio ndoani tu. Wewe kijana nenda kacheza kiduku kwanza.

Kuna mambo mawili: Kwanza – Upungufu wa nguvu za kiume na, Pili – Ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.

SOMA KUHUSU UFADHILI MPYA WA UTAFITI BARANI AFRIKA

Hazina mpya ya kufadhili utafiti wa kisayansi imeanzishwa barani Afrika, huku kukiwa na wasi wasi kuwa utafiti unaofanyika barani kwa kiasi kikubwa hufanywa na watu kutoka Mataifa ya Magharibi.
Wafadhili wa mradi huo unaojulikana kama Muungano wa Kuimarisha Sayansi barani Afrika, Alliance for Accelerating Excellence in Science in Africa, (AESA), wanasema ukosefu wa uwekezaji katika secta ya Sayansi umehujumu maendeleo barani.

Effects of Gut bacteria to your weight, fat and good cholesterol level


"Our study provides new evidence that microbes in the gut are strongly linked to the blood level of HDL (good cholesterol) and triglycerides and may be added as a new risk factor for abnormal blood lipids, in addition to age, gender, BMI and genetics," said Jingyuan Fu, Ph.D., study lead author and associate professor of genetics at University Medical Center Groningen in the Netherlands.
Using state-of-the-art deep sequencing technology, researchers studied the association between gut microbes and blood lipid levels in 893 people in the Netherlands. They identified:

.