Wednesday 20 January 2016

soma kuhusu ZIKA kirusi kipya kirusi kipya kinachosambazwa na mbu wa dengu

Zika virus is transmitted by the same Aedes mosquito that spreads dengue and chikungunya. Typically, it causes mild illness and a rash, but reports from Brazil suggest it may be causing birth defects in newborn babies of women who have had Zika.
The virus is native to parts of Africa and Asia, but it is now spreading locally outside of its native regions in people who have not traveled abroad. There is no vaccine or antiviral treatment for the virus

HIZI NI SABABU KWA NINI MAMA MJAMZITO ANASHAURIWA KULA SAMAKI WABICHI MARA KWA MARA


Ulaji wa samaki wabichi kwa mama mjamzito husaidia kukuza ubongo na mfumo wa fahamu kwa mtoto aliyeko tumboni kutokana na kupata virutubisho aina ya mafuta ya omega-3 and omega-6 ambayo husaidia pia kuimarisha afya ya macho, tabia na mama mjamzito kujifungua kwa wakati.

.