Friday 30 January 2015

LISHE INAYOFAA KATIKA MULO WA USIKU

Usiku mwili unahitaji protein zaidi ili kupata matofali (amino acids) ya kuujenga mwili na kurekebisha sehemu za mwili zilizoharibika na kuumia wakati wa mchana. Wakati wa kulala mwili hauhitaji chakula kingi cha kutia nguvu mwilini maana kazi zinazohitaji nguvu nyingi hakuna. Hivyo, ni marufuku kula sahani ya ugali/ubwabwa na kwenda kupanda kitandani kulala wakati huo huo, maana chakula hakitasangwa vizuri na mwili utatengeneza sumu nyingi sana na kuwa na uwekezano wa kuota ndoto mbayambaya tu usiku kucha.

JIZUIE KUPATA U.T.I NA MAGONJWA YAZINGANAA

Ikumbukwe kuwa tendo la ndoa huongeza presha kwenye kibofu na kusababisha hamu ya kukojoa kila baada ya tendo hali inayokuwezesha kuondoa vimelea vya magonjwa mbali mbali  kabla ya

Tuesday 20 January 2015

UZURI WA MAYAI NA NYAMA YA KWARE KATIKA KUKUKINGA NA MARADHI MBALIMBALI.

Katika siku za hivi karibuni ndege aitwae kware ameanza kuwa ndege maarufu katika baadhi ya wafugaji katika nchi yetu na kwa wale ambao walikuwa wakiwawinda porini enzi hizo bado wana imani kuwa ndege huyu hawezi kufungwa kama hatakimbia basi atajiua, lakini kwa wale wanaotaka kumfuga ndege huyu mdogo mwenye mayai matamu ya madoa doa wanaweza sasa inaweza kugeuka chanzo cha mapato na sehemu ya chakula bora kwa familia.

Monday 19 January 2015

HAYA NI MADHARA YA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA MAKALIO

Wanawake nchini Venezuela wanatumia kemikali haramu ijulikanayo kama “Silicon” kuongeza ukubwa wa makalio yao na kujiletea madhara makubwa ya kiafya

UMUHIMU WA LIMAO KATIKA KULINDA AFYA YAKO.

 Limao ni kitu kidogo sana lakini faida zake huwezi kuamini kama hujawahi kutumia. Kuna faida nyingi sana za kutumia limao, hasa wakati wa asubuhi wakati mwili umekaa bila kula usiku kucha. Kati ya nyingi, hizi hapa chache za kukufanya kufikiria kuanza kutumia limao kama utapenda.

MAGONJWA YATOKANAYO NA MIFUMO WA MAISHA YANAVYOONGEZEKA KWA KASI.

WATAALAMU wa afya nchini, wameonya juu ya kuwepo kwa ongezeko kubwa la magonjwa yasiyoambukiza yanayotokana na kula vyakula vyenye mafuta mengi na hivyo kumsababishia mlaji kupata magonjwa hayo imeelezwa.
Kwa mujibu wa Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kutokana na tatizo hilo inahitaji kufanya uchunguzi zaidi ili kutokomeza kabisa tatizo la magonjwa ya kuambukizwa na yale yasiyo ya kuambukizwa kwa wakati mmoja.

Essential oils protect from both bacteria, viruses, fungi and Cancer

Main component of essential oils, terpenes can inhibit the growth of different cancer cells. They shed light upon the molecular mechanisms that resulted in cancer cells stop growing, following the application of (-)-citronellal, and they proved that the olfactory receptor OR1A2 is the crucial molecule for that purpose. In future, the olfactory receptor could serve as target for liver cancer

UKOSEFU WA VITAMINI A UNAKUWEKA KATIKA HATARI YA KUUGUA KISUKARI

Tafiti zinaonyesha kuwa ukosefu au upungufu wa vitamini A mwilini ambayo hutusaidia kuona vizuri pia huweza kusababisha ugonjwa wa kisukari,

MWANAMKE ALIYEJIFUNGUA NA KUMCHOMA MOTO MTOTO KATIKA YA BARABARA.

Mwanamke nchini Marekani anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji baada ya kuamua kumweka mtoto wake aliyetoka kujifungua katikati ya barabara kisha kumchoma moto.

UGOMVI ULIOSABABISHA MUME KUMCHINJA NA KUMKATAKATA MKEWE.

Naveed Ahmed, mwenye umri wa miaka 41,amekiri kumchinja na kumkatakata mkewe ambaye ni mama wa watoto wake wawili.

KWA WANOPENDA UREMBO BANDIA SOMA KILICHOMKUTA MREMBO HUYU

Andressa Urach mshindi wa pili katika mashindano ya mrembo mwenye makalio mazuri na miguu mizuri zaidi kupitia kwenye mtandao wa internet alidungwa sindano za kemikali ili kufanya makalio yake kuwa makubwa pamoja na kuongeza ukubwa wa miguu yake. 

Saturday 17 January 2015

FANYA YAFUATAYO KWA MWANAO ANAYETAPIKA AU KUHARISHA.

Jambo muhimu zaidi unaweza kufanya kama mtoto wako anatapika na kuharisha ni kuhakikisha anaendelea kunywa maji ya kunywa.  Kama mtoto wako ananyonya , endelea kumnyonyesha mara kwa mara. Kama wamepungukiwa maji, , atakuwa anahitaji maji ya ziada. Uliza mfamasia au mtaalamu wa afya kama wangeweza kupendekeza kumpatia dawa ya kusaidia kutopunguka kwa maji mwilini (ORS).

SOMA MADHARA YA SUKARI NA UYAEPUKE MPEMA

Matumizi ya sukari kupita kiasi katika vyakula na vinywaji laini huongeza hatari ya kushambuliwa na matatizo ya saratani, unene kupita kiasi, kuzeeka mapema, na magonjwa ya moyo.

Wednesday 14 January 2015

MATUMIZI YA LIFT YAPIGWA MARUFUKU KUPAMBANA NA TATIZO LA UZITO MKUBWA.

 
Majengo mengi yaliyo katika ghorofa kuanzia nne na kuendelea yamekuwa yakiwekwa lift za umeme ili kusaidia watu kupanda na kushuka kwa urahisi na uharaka, nimekutana na hii story ya Gavana mmoja kuzuia watu kutumia lift ili watu wapambane na tatizo la uzito mkubwa.

WAGANGA NA WAPIGA RAMLI KUPIGWA MARUFUKU NCHINI.

Serikali imeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ukatili wanaofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi Albino.

Wednesday 7 January 2015

FANYA YAFUATAYO KILA SIKU KWA AFYA BORA YA MWILI WAKO.

1. Jiwekee utaratibu wa kufunga kwa siku mbili au tatu, wakati huo ukitumia maji ama juisi ya matunda au vyote kwa pamoja. Usile chakula kingine chochote. Faida ya kufunga ni kuondoa sumu mwilini, ambazo mara nyingi zimekuwa chanzo cha magonjwa.

MARADHI YA NGOZI YANYOTOKANA NA NGONO ISIYO SALAMA

Sunzua kitaalamu warts ni ugonjwa wa ngozi unaofahamika na wengi. Ugonjwa huu husababishwa na virusi ambavyo kitaalamu huitwa human papilloma virus.
Karibu asilimia 10 ya wanadamu wamewahi kupata athari za virusi vya ugonjwa huu, achilia mbali kuumwa sunzua.

Sunday 4 January 2015

SIMANZI NCHINI KENYA BAADA YA KIFO CHA MTOTO WA RAILA ODINGA

PrezzoFidel Odinga katikati akiwa na marafiki zake
Prezzo akiwa na Fidel Odinga katikati na marafiki wengine
Simanzi kubwa imeikumba familia ya waziri mkuu wa zamani wa Kenya Raila Amolo Odinga baada ya kutoka kwa taarifa ya kifo cha mtoto mkubwa wa mwanasiasa huyo mashuhuri nchini Kenya asubuhi ya leo .

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA SELI MUNDU (SICKLE CELL)

Kabla ya kuanza kuuelezea ugonjwa huu ni vyema kufahamu jinsi gani damu husafirishwa katika mwili wa damu. Himoglobini (haemoglobin) ni molekyuli ambayo ni sehemu ya chembe hai nyekundu zilizoko mwilini.Himoglobini hufanya kazi ya kuzisaidia chembe hai nyekundu kubeba hewa ya oksijenu kutoka kwenye mapafu kwenda sehemu nyingine za mwili.

UMUHIMU WA MAYAI KWA AFYA YAKO.

Mayai yana kiwango kikubwa cha virutubisho na madini ambayo ni muhimu sana kwa afya yako.  Hivi ni baadhi ya virutubisho vinavyoweza kuujenga mwili wako asa unapokula yai walau wara chache kwa wiki;-

Saturday 3 January 2015

SABABU NA TIBA ZA UKOSEFU WA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA

Wanawake  wengi  nchini  na  duniani  kwa  ujumla  wanasumbuliwa  na  tatizo  la kukosa  hamu  ya  kufanya  tendo  la  ndoa  ( LACK  OF  LIBIDO ) pamoja  na  tatizo  la  kutofika  kileleni.  Inasadikiwa  kuwa, katika  kila  wanawake  kumi, angalau  wanne  kati  yao  wanasumbuliwa  na  tatizo  la kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa  na  kutofika  kileleni  wakati  wa  tendo.

  SABABU  ZA  WANAWAKE  KUKOSA  HAMU  YA  TENDO  LA  NDOA.

Sababu  zinazo  changia  tatizo  hili  zimegawanyika  katika  makundi  makuu  mawili :  (  A  )  Sababu  za  Kisaikolojia { Psychological )  na  (  B  )  Sababu  za  Kimwili  {  Physical  }

SOMA NA HIISABABU ZA WANAWAKE KUOTA NDEVU


A.  SABABU  ZA    KIMWILI  "  PHYSICAL"


1.  Anaemia  (   ugonjwa  huu  ni  very  common  kwa  wanawake  kwa  sababu  ya  kupoteza  madini   ya  chuma  wakati  wa   hedhi  )

2. Ulevi  Kupita  kiasi  (  Alcoholism  )
3. Utumiaji  wa  Dawa   Za  Kulevya  ( Kama  Vile  bangi  n.k  )
4. Magonjwa  makubwa  kama  vile  kisukari.

(  Sababu  zipo  nyingi  sana, hizi  ni  baadhi  tu  )

B :  SABABU  ZA  KISAIKOLOJIA  " PSYCHOLOGICAL "  
  Stress  and  overwork
  Anxiety  "  Woga"
 Kunyanyaswa  kijinsia  ama  kubakwa  wakati  wa  utotoni
  Kuwa  katika  matatizo  makubwa  na  mpenzi  wako.
 Kuishi  katika  mazingira  magumu  mfano  kushare  nyumba  ama  chumba  na  wazazi  wako, wakwe  zako  ama  watoto  wako.

HIZI  NI  BAADHI  YA  SABABU  ZINAZO  WAFANYA  WANAWAKE  WENGI  LEO  HII  KUKOSA  HAMU  YA  KUFANYA   TENDO  LA  NDOA NA  KUTOFURAHIA  TENDO HILO.
Hata  hivyo  sababu  hizi  hazimuhusu  kila  mwanamke, wanawake  wengine  wanasumbuliwa  na  tatizo  hilo  tangu  walipo  vunja  ungo.

.