Wednesday 30 April 2014

NJIA RAHISI KUPAMBANA NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI(PERIOD)



Wanawake wengi ukabiliwa na tatizo la maumivu wanapokuwa katika siku zao ambayo kitaalamu huitwa Dysmenorrhea. Hali hii uchukuliwa kama maumivu ya kawaida kwa kila mwanamke isipokuwa yanapokuwa makali yakiambatana na dalili kama kichefuchefu, kutapika, kukosa choo na nyingine nyingi ambazo usababisha mwanamke hasifanye shughuli zake za kila siku.
Maumivu yanapokuwa makali sana chini ya kitovu na kwa muda mrefu huweza kuwa yamesababishwa na matatizo ya uzazi, magonjwa ya zinaa na U.T.I hivyo unashauriwa kumuona daktari mapema 

Monday 28 April 2014

UGONJWA WA FANGASI SEHEMU ZA SIRI (Candidaiasis)

Candida albicanas ni aina ya fangas wanaoweza kuathiri sehemu mbalimbali ya mwili wa binadamu. Mara nyingi hushambulia sehemu laini za mwili (mucuos membrane), pia wanaweza kuathiri ngozi na kusambaa kwenye damu hasa kwa wagonjwa wenyewe upungufu wa kinga.

Zaidi ya asilimia 78 ya wanawake hupata maambukizi ya  fungus sehemu za siri mara moja au zaidi katika maisha. Hata hivyo baadhi hupata maambukizi  mara kwa mara.Maambukizi hufanya na aina ya fangas waitwa Candida albicans. Fangasi hawa kwa kawaida hupatika katika njia ya uzazi ya mwanamke bila madhara yoyote, lakini  mabadiliko ya hormoni na upungufu wa kingi mwilini sambamba na maambukizi mbalimbali huweza kusababisha ugonjwa. 

UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (Haemorrhoids

Uvimbe huu kitaalamu huitwa Haemorrhoids na hutokea kwenye njia ya haja kubwa na sehemu ya mwisho ya puru(rectum) ambapo kuna mkusanyiko na muunganiko wa mishipa midogo ya damu ambayo hujaa zaidi na kusababisha tishu zilizo karibu na juu yake kuvimba.

Sunday 27 April 2014

TATIZO LA WANAUME KUWA NA DALILI ZA UJAUZITO:

   sympathetic pregnancy ambapo mwanaume hupata dalili sambamba na mwenza ambaye ni mjamzito hali inayosababishwa na matatizo ya psychologia na mabadiliko ya hormoni katika mwili wa mwanaume. wataalamu wa psycholojia wanaeleza kuwa hali hii huweza kusababishwa na mawazo kwa baba juu ya mtoto ambaye yuko tumboni pamoja na kumuonea huruma mwenza wake. kwa upande mwingine baadhi ya dalili huweza sababibwa na mwenza kutokubali au kuamini kama mama ni mjamzito. 

WASILIANA NAMI KWA MSAADA, MASWALI NA MAJIBU:

Email: themistoclesn@yahoo.com
            nyeme25@gmail.com
Phone call& text: 0719294768
                              0764591768
facebook
twitter

UMUHIMU WA KWENDA HAJA NDOGO KILA BAADA YA TENDO LA NDOA

Mara nyingi tunashauriwa kukojoa kila baada ya tendo la ndoa. Japokuwa wanawake wengi pamoja na kuwa na hamu ya kwenda haja ndogo kila baada ya tendo ila kutokana na uvivu na uchovu ujikuta katika usingizi mzito na kusahau tendo hili muhimu baada ya kufika kileleni. Umuhimu wa tendo hili ni kupunguza na kuzuia uwezekano wa kupata maambukizi ya magonjwa ya njia ya mkojo(U.T.I) na magonjwa ya zinaa(S.T.I)

Tuesday 22 April 2014

TAHADHARI JUU YA DAWA BANDIA NCHINI:

Kero la kuzagaa kwa dawa bandia nchini Tanzania ni hai, na kikubwa ni kwamba nyingi ya dawa hizo ni zile zinazotumiwa kutibu ugonjwa wa Malaria.
Changamoto hapa ni kwamba mamilioni ya watanzania huugua ugonjwa huu kila mwaka huku maelfu wakifariki.Wapate wapi tiba?
Je ulijua kama wafanyabiashara wanaoiona hali hii kama pengo la kibiashara na nafasi kwao kuuza dawa bandia?
KWA TAARIFA KAMILI TEMBELEA http://www.bbc.co.uk/swahili/medianuai/2014/04/140422_habanahaba_dawabandia.shtml  NA WASHIRIKISHE WENZIO KUCHUKUA TAHADHARI

Thursday 17 April 2014

NAFASI MPYA ZA KAZI SERIKALINI MWISHO TAREHE 30/4/2014

On behalf of the Centre for Agricultural Mechanization and Rural Technology (CAMARTEC), The Small Industries Development Organization (SIDO), The Capital Markets and Securities Authority (CMSA) and The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 51 vacant posts in the above Public Institutions.
NB: GENERAL CONDITIONS

Wednesday 16 April 2014

HABARI MBAYA KWA WALAJI WA KITIMOTO

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.

Monday 14 April 2014

JE WAJUA?: MAPENZI HUFANANISHWA NA MADAWA YA KULEVYA.

Katika hali isiyo ya kawaida kuzama katika mahusiano ya kimapenzi huchukua dakika nne tu kwa binadamu na furaha anayokuwa nayo ni sawa na mtu aliyekunywa dozi ya dawa aina ya Cocaine kwani huleta hisia sawa katika maeneo 12 ya ubongo.

JINSI YA KUEPUKA VITAMBI VINAVYOSABABISHWA NA BIA



Mara nyingi tumezoea kuwaona watu wengi wanaotumia kinywaji cha bia wakiwa na vitambi. Hali hii husababishwa na upungufu wa proteini aina ya  Albumin ambayo hutoka nje ya mishipa ya damu na kuvuta maji maji  nje ya mishipa hiyo ambayo hujaa na kujikusanya sehemu za tumbo na miguu .

Monday 7 April 2014

NAFASI MPYA ZA KAZI AGA KHAN MWISHO TAREHE 14/3/2014

Teacher Librarian
Company:Aga Khan Mzizima Secondary School
Location:Dar Es Salaam
POSITION DESCRIPTION:
IBOP and IGCSE experienced teachers of Theory of Knowledge, English Literature, Humanities, Business, Mathematics and Sciences.
AKES,T is currently seeking qualified, dynamic, open-minded, committed, effective and experienced candidates to fill the following positions from April 2014:
The ideal candidates will:
Model the attributes of the IB Learner Profile
Be able to teach at least one IB subject at HL, with flexibility to teach across 2-3 different subjects/levels
Be willing to supervise one CAS activity after school, 3-4pm once a week and sometimes at weekends

Thursday 3 April 2014

AINA YA VYAKULA VINAVYOONGEZA UWEZO KATIKA TENDO LA NDOA

Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili.

Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume na kuacha idadi ya wanawake wanaokabiliwa na tatizo hilo kwa mujibu wa uchunguzi kubaki na asilimia 13

NAFASI ZA KAZI LEO 3/4/2014

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA.
Kumb. Na EA.7/96/01/G/09 01 Aprili, 2014
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI


Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).

Tuesday 1 April 2014

TAHADHARI KWA WANAWAKE WANAOFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

Ni kweli washauri wa masuala ya mapenzi wanaeleza kuwa, ili uweze kumshika vilivyo mpenzi wako unatakiwa kuhakikisha unampa katika kila anachokitaka lakini hawakuzungumzia ishu ya wewe kukubali mapenzi kinyume na maumbile. Hawakurusu hilo kwa kuwa wanajua madhara ya kufanya hivyo. Sasa iweje leo ukubali kufanya dhambi hiyo eti kwa kuwa mpenzi wako kataka na unampenda?

MATUMIZI YA SIMU ZA KISASA NA MADHARA YAKE KIAFYA

Wataalamu wa macho wanashauri kuwa matumizi kupindukia ya mara kwa mara ya simu za kisasa (Screen touch Smartphone), TV pamoja na Computer yana madhara sana kwa afya ya macho kutokana na kuwa na mionzi ya Blue violet ambayo huweza kusababisha upofu wa macho.

.