Tuesday 14 April 2015

UPUNGUFU WA DAMU NI HATARI KWA AFYA YAKO: SOMA NA JIKINGE

Upungungufu wa damu husababishwa na mambo mengi kama kupoteza damu nyingi kutokana na kuumia, hedhi, wakati wa kujifungua, magonjwa mbalimbali na maambukizi ya minyoo. Pia huweza kuchangiwa na magonjwa ya kurithi, matibabu ya mionzi, ukosefu wa lishe asa yenye madini ya chuma, folic na vitamini B12. 

.