Wednesday 18 November 2015

TAMBUA SABABABU ZA KUUGUA U.T.I MARA KWA MARA NA UZIEPUKE.

Watu wengi husumbuliwa na ugonjwa wa U.T.I ambao ushambulia kibofu na mirija ya kupitisha mkojo mara kwa mara na kusababishiwa hathari kubwa ambazo ni ugonjwa kutokupona kabisa, kuoza, utasa na virusi vya ukimwi. zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo hupelekea mtu kutokupona anapotibiwa ugonjwa huu ambazo unaweza kuziepuka na kuepuka madhara makubwa:-
1. Kutokufanya usafi sehemu za siri na kuvaa nguo chafu au zenye unyevu.
2. Kutumia vyoo vya umma ambavyo si safi mara kwa mara
3. Kupulizia manukato sehemu za siri kujisafisha kwa sabuni zenye kemikali kali.
4. Kufanya ngono zisizo salama mara kwa mara.
5. Kutomaliza dose na dawa ulizoandikiwa na daktari baada ya kupata nafuu.
6. Matumizi ya dawa za kuzuia mimba pamoja na dawa zinazoshusha kinga ya mwili.
LIKE PAGE NA UNGANA NASI KWA MASWALI NA MAJIBU.

New 'Silent' Sexually Transmitted-Mycoplasma Genitalium.

Slightly more than 1 percent of 4,500 participants tested positive for a sexually transmitted disease known as Mycoplasma genitalium (MG), a sample survey in the United Kingdom indicates. The real news about this STD, though, is it isn’t very "new." The infection-causing bacterium was first identified in the early 1980s.
So why don't you know about this? Possibly because more than 90 percent of the MG-positive men and more than half the women did not report any warning signs. However, among the women who experienced symptoms, bleeding after sex was their most common complaint.

Friday 11 September 2015

Higher fish consumption beneficial for primary prevention of depression

"Higher fish consumption may be beneficial in the primary prevention of depression" the authors write. "Future studies are needed to further investigate whether this association varies according to the type of fish."
Depression affects an estimated 350 million people worldwide, making it the world's leading cause of disability. As things stand, it is also projected to become the world's second leading cause of disease burden by 2020.

HIZI NI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA KISUKARI, ZITAMBUE NA EPUKA MAPEMA UGONJWA HUU HATARI.

Zaidi ya robo tatu ya wagonjwa wa kisukari huwa na dalili na ishara  ambazo hushindwa kuzitambua mapema hivyo kukosa vipimo na matibabu ya mapema kukabiliana na tatzo hili. Zifuatazo ni ishara na dalili za awali zitakazokusaidia kujua kama unakabiliwa au uko katika hatari ya ugonjwa wa kisukari.

KAMA UNASUMBULIWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UKOSEFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA.

Kabla hutujafika mbali kama wewe hauna ndoa basi ishia hapa hapa. Elimu iliyopo ni kwa ajili ya walio ndoani tu. Wewe kijana nenda kacheza kiduku kwanza.

Kuna mambo mawili: Kwanza – Upungufu wa nguvu za kiume na, Pili – Ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.

SOMA KUHUSU UFADHILI MPYA WA UTAFITI BARANI AFRIKA

Hazina mpya ya kufadhili utafiti wa kisayansi imeanzishwa barani Afrika, huku kukiwa na wasi wasi kuwa utafiti unaofanyika barani kwa kiasi kikubwa hufanywa na watu kutoka Mataifa ya Magharibi.
Wafadhili wa mradi huo unaojulikana kama Muungano wa Kuimarisha Sayansi barani Afrika, Alliance for Accelerating Excellence in Science in Africa, (AESA), wanasema ukosefu wa uwekezaji katika secta ya Sayansi umehujumu maendeleo barani.

Effects of Gut bacteria to your weight, fat and good cholesterol level


"Our study provides new evidence that microbes in the gut are strongly linked to the blood level of HDL (good cholesterol) and triglycerides and may be added as a new risk factor for abnormal blood lipids, in addition to age, gender, BMI and genetics," said Jingyuan Fu, Ph.D., study lead author and associate professor of genetics at University Medical Center Groningen in the Netherlands.
Using state-of-the-art deep sequencing technology, researchers studied the association between gut microbes and blood lipid levels in 893 people in the Netherlands. They identified:

Friday 28 August 2015

KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI SEHEMU ZA SIRI

Candida albicanas ni aina ya fangas wanaoweza kuathiri sehemu mbalimbali ya mwili wa binadamu. Mara nyingi hushambulia sehemu laini za mwili (mucuos membrane), pia wanaweza kuathiri ngozi na kusambaa kwenye damu hasa kwa wagonjwa wenyewe upungufu wa kinga.

Saturday 22 August 2015

Soma Madhara ya kufanya mapenzi kipindi cha Hedhi (Period)

Kuhusu kujamiiana wakati wa hedhi; medically hakuna madhara yeyote yaliyothibitishwa kiafya kutokea kutokana na mtu/watu kujamiiana wakati wa hedhi, ISIPOKUWA zipo hatari zinazojulikana, nazo ni urahisi wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ukiwemao UKIMWI japo vitabu vya dini kama biblia inakataza kujamiana wakati wa hedhi.

MWANAMKE HUPASWI KUONA AIBU KUFANYA MAMBO HAYA.

Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanatakiwa kuyafanya huru, bila uoga na aibu kutokana na maumbile yao ambayo huwafanya kuwa na hofu katika maeneo mbalimbali-

KUFANYA KAZI BILA KUPUMZIKA HUKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA KIHARUSI NA MAGONJWA YA MOYO.

Tafiti zinaonyesha kuwa kufanaya kazi zaidi ya masaa 55 kwa week hukuweka katika hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi pamoja na magonjwa ya moyo na akili.

Monday 10 August 2015

HII NI TAHADHARI KWA WAVUTA BANGI.

Utafiti unaonyesha kuwa kula maembe kabla na wakati wa kuvuta bangi huweza kusababisha madhara zaidi kwa kuogeza kasi ya utendaji kazi na kiwango chake katika mwili wa binadamu.
BOFYA HAPA KULIKE PAGE NA UNGANA NASI KILA SIKU KWA ELIMU YA AFYA.

Sunday 9 August 2015

Mambo 5 muhimu ambayo mwanamke/msichana hutakiwi kuyaonea aibu.

Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanatakiwa kuyafanya huru, bila uoga na aibu kutokana na maumbile yao ambayo huwafanya kuwa na hofu katika maeneo mbalimbali-

Friday 7 August 2015

Pombe inavoongezewa nguvu za kiume nchini China

Maafisa wanaohusika na ubora wa vyakula wanasema, watengenezaji wa Pombe nchini humo waliongeza dawa ya kuongeza nguvu za kiume yaani

Monday 3 August 2015

Michezo ya TV, computer na simu ni hatari kwa watoto wako.

Michezo ya tv, kompyuta na simu kwa watoto wadogo mara kwa mara husababisha matatizo mengi shule na kuharibu uwezo wao wa kawaida (Intelligence) ikiwa ni pamoja na kushindwa, kijifunza kusoma vizuri na kwa haraka, kushindwa kutamka na kuandika maneno vizuri hata kama mwanzo alikuwa na uwezo huo.

Marriage causes dramatical decrease in heavy Alcohol drinking.

Wednesday 29 July 2015

Thursday 23 July 2015

Mambo 6 Muhimu ya kufanya kila siku kudumisha AFYA BORA.

Ili kufikia malengo tuangalie vitu 6 muhimu vya kuzingatia ili kudumisha afya yako. Kama ukiweza kufanya hivi, angalau mara 3 kwa wiki, basi unaelekea kwenye njia ya maisha bora.

Wednesday 22 July 2015

7 Tips to control your high blood pressure



High blood pressure is something that can damage your health to a great extent. It can lead to cardiac ailments, kidney failures, and even an early death. High blood pressure is found to be more prominent as you grow older since the blood vessels get stiff. It is very important hence to control high blood pressure. Here are some tips.

Friday 10 July 2015

Four Important diet to nourish your skin



1. Flaxseed and fish
Include foods that are rich in omega 3 fatty acids. Include flaxseed and fish in your daily diet as they are a rich source of omega 3. These foods help to prevent acne and spots on skin. It helps to prevent lines and wrinkles on skin.

Thursday 9 July 2015

Lower levels of Sex Hormones linked to Depression

Men with lower levels of testosterone may be at increased risk of depression, a new study finds.
Researchers found that more than half of the men in the study who had lower levels of testosterone had a diagnosis of depression or showed symptoms of the condition, while a quarter of participants were taking medication for the disease.

TAMBUA SABABU ZITAKAZOKUFANYA KUZEEKA MAPEMA.

Utafiti umebaini kuwa kuna umri halisia na umri wa kibayolojia ambao hutokana na vyakula, unene, utaraibu wa mtu na mifumo ya maisha ambayo humfanya mtuu kuzeeka au kubaki kijana.

Wednesday 8 July 2015

First Aid for Severe Bleeding



First aid is appropriate for external bleeding. If bleeding is severe, or if you think there is internal bleeding or the person is in shock, get emergency help.

Monday 6 July 2015

DAWA MPYA YA VIRUSI VYA UKIMWI IKO HAPA



Kuna maisha hata kama umeambukizwa bado unaweza kuishi maisha marefu kama utatimiza yafuatayo:

Worst measles outbreaks in U.S

According to a news from the Washington State health department, the (unidentified) woman was probably exposed to the extremely contagious virus while at a medical facility during an outbreak in Clallam County.

Monday 29 June 2015

TUNDA LA STAFELI NI DAWA YA MAGONJWA MBALIMBALI.

KWA mfano baadhi ya dawa za hospitali huathiri njia ya chakula na kumsababishia mgonjwa ukosefu wa choo kwa muda mrefu, lakini stafeli likitumika hurekebisha hali hiyo na kumsaidia mgonjwa kupata choo kama kawaida.

12 Inspiring Quotes That Reduce your Stress

It is impossible for anyone to be happy at all times. Sadness strikes when we least expect it. Some of us have the strength to overcome it and some of us do not. There are some who wallow in self-pity and walk around depressed, not interested in anything that would make them happy or change their mood. The important thing to understand about life is that change is an essential part of it and that nothing is forever. Being depressed does not help anyone and just makes you and your day dull. The sooner you get out of your depressed state, the better it is for you and everyone around you. Here are some quotes that could help you deal with depression.

HERE is Five Minutes massages which ca allevite your Pain



Massage therapy can do wonders for your body. It not only helps to increase the blood circulation but also reduces stress. A five minute massage can help to alleviate pain from your body. Are you aware of some popular types of massages? If not, then read ahead.

Tuesday 23 June 2015

FANYA YAFUATAYO KUJITIBU MAUMIVU YA MGONGO

Maumivu chini ya mgongo hutokea sana kwa kila mtu na mara nyingi huwa ni chini ya mbavu za nyuma na juu ya miguu na huweza kusambaa mpaka kwenye kiuno na hips. Maumivu haya usikika na kuumiza pale unapoinua kitu, kusimama, kukaa kwenye kiti au kutembea na usababishwa na matumizi kupita kiasi ya misuli, kano, mishipa na neva za mgongoni au kwenye pingili za uti wa mgongo kutokana na kugandamizwa sana.

TAMBUA NA EPUKA MADHARA YA KULALA NA NGUO ZA NDANI

Madaktari na waalamu wa afya wanashauri kulala bila nguo za ndani wakati wa usiku ili kuwezesha viungo vya uzazi kupata hewa ya kutosha ili kuepuka maambukizi ya fangasi na kutoa harufu mbaya katika sehemu za siri.

Thursday 18 June 2015

Sababu na Tiba ya Miguu Kutoa Harufu Mbaya.

Miguu kutoa harufu mbaya ni tatizo sugu linalowakabili baadhi ya watu katika jamii, wengi wakiwa wanaume. Tatizo hili linaonekana kuzidi kuwa sugu, hali inayosababisha kuwepo na harufu mbaya hasa kwenye mikusanyiko na wengi wao huwa wagumu kukubaliana na hali yao hata kutafuta tiba mahususi inaweza kuwaondolea kero hiyo.

Soma Madhara ya Sigara na Uyaepuke

Kuvuta sigara ni tabia ambayo imezoeleka na watu wengi ingawa ina madhara mengi Uvutaji sigara huathiri mwili kwa njia tofauti na madhara yake ni makubwa kiafya. Inakadiriwa kuwa, hadi sasa kumegunduliwa kemikali zipatazo 7,000 katika moshi wa sigara ambapo 250 kati ya hizo ni sumu na 70 zinasababisha kansa. 

This is how People who drinks coffee tend to be smart.

When caffeine enters your blood stream, it acts like fuel. It also increases the adrenaline level in your body to significantly enhance your physical performance. 

Beer helps to prevent kidney stones and minimize risk of cancer

A study conducted in Finland established that moderate daily consumption of beer can reduce the risk of developing kidney stones by 40%. This health benefit is attributed to beer’s high water content (about 93%) that helps flush harmful toxins out of the body and keep the kidneys working properly.

Six Surprising Health Benefits Of Fasting

1. Fasting Helps Weight Loss

2. Fasting Improves Insulin Sensitivity

Hate Crime Assault Killed Pastor and Nine Others

A white man opened fire during a prayer meeting inside a historic black church in downtown Charleston, killing nine people, including the pastor, in an assault authorities described as a hate crime.

Pope Francis urges on rich exploiting the poor

VATICAN CITY (AP) — Pope Francis called Thursday for a bold cultural revolution to correct what he calls the "structurally perverse" economic system of the rich exploiting the poor that is turning Earth into an "immense pile of filth.
In a sweeping manifesto aimed at spurring action in U.N. climate negotiations, domestic politics and everyday life, Francis explains the science of global warming, which he blames on an unfair, fossil fuel-based industrial model that he says harms the poor most. Citing Scripture and past popes' and bishops' appeals, he urges people of all faiths and no faith to undergo an awakening to save God's creation for future generations.

Tuesday 16 June 2015

SOMA MADHARA YA SMARTPHONE NA UYAEPUKE

Wataalamu wa macho wanashauri kuwa matumizi kupindukia ya mara kwa mara ya simu za kisasa (Screen touch Smartphone), TV pamoja na Computer yana madhara sana kwa afya ya macho kutokana na kuwa na mionzi ya Blue violet ambayo huweza kusababisha upofu wa macho.

TAHADHARI KWA WANAWAKE WANAOFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE.

Ni kweli washauri wa masuala ya mapenzi wanaeleza kuwa, ili uweze kumshika vilivyo mpenzi wako unatakiwa kuhakikisha unampa katika kila anachokitaka lakini hawakuzungumzia ishu ya wewe kukubali mapenzi kinyume na maumbile. Hawakurusu hilo kwa kuwa wanajua madhara ya kufanya hivyo. Sasa iweje leo ukubali kufanya dhambi hiyo eti kwa kuwa mpenzi wako kataka na unampenda?

.