Tuesday 23 June 2015

FANYA YAFUATAYO KUJITIBU MAUMIVU YA MGONGO

Maumivu chini ya mgongo hutokea sana kwa kila mtu na mara nyingi huwa ni chini ya mbavu za nyuma na juu ya miguu na huweza kusambaa mpaka kwenye kiuno na hips. Maumivu haya usikika na kuumiza pale unapoinua kitu, kusimama, kukaa kwenye kiti au kutembea na usababishwa na matumizi kupita kiasi ya misuli, kano, mishipa na neva za mgongoni au kwenye pingili za uti wa mgongo kutokana na kugandamizwa sana.
Pia huweza kusababishwa na kuvunjika au maambukizi katika pingili za uti wa mgongo,  umri mkubwa, saratani ya mifupa,uzito kupita kiasi mawe katika figo, uvimbe na saratani ya kizazi .
TIBA YAKE IKO HAPA 

No comments:

Post a Comment

.