Tuesday 22 April 2014

TAHADHARI JUU YA DAWA BANDIA NCHINI:

Kero la kuzagaa kwa dawa bandia nchini Tanzania ni hai, na kikubwa ni kwamba nyingi ya dawa hizo ni zile zinazotumiwa kutibu ugonjwa wa Malaria.
Changamoto hapa ni kwamba mamilioni ya watanzania huugua ugonjwa huu kila mwaka huku maelfu wakifariki.Wapate wapi tiba?
Je ulijua kama wafanyabiashara wanaoiona hali hii kama pengo la kibiashara na nafasi kwao kuuza dawa bandia?
KWA TAARIFA KAMILI TEMBELEA http://www.bbc.co.uk/swahili/medianuai/2014/04/140422_habanahaba_dawabandia.shtml  NA WASHIRIKISHE WENZIO KUCHUKUA TAHADHARI

No comments:

Post a Comment

.