Friday 30 January 2015

LISHE INAYOFAA KATIKA MULO WA USIKU

Usiku mwili unahitaji protein zaidi ili kupata matofali (amino acids) ya kuujenga mwili na kurekebisha sehemu za mwili zilizoharibika na kuumia wakati wa mchana. Wakati wa kulala mwili hauhitaji chakula kingi cha kutia nguvu mwilini maana kazi zinazohitaji nguvu nyingi hakuna. Hivyo, ni marufuku kula sahani ya ugali/ubwabwa na kwenda kupanda kitandani kulala wakati huo huo, maana chakula hakitasangwa vizuri na mwili utatengeneza sumu nyingi sana na kuwa na uwekezano wa kuota ndoto mbayambaya tu usiku kucha.

No comments:

Post a Comment

.