Monday 16 June 2014

TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA NYAMA YA KUKU

Wachinjaji wa kuku na watumiaji wa nyama ya kuku mnatahadharishwa kuwa makini mnapoosha nyama ya kuku kwani kuna uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa wa tumbo maarufu kama food poisoning ambao husababiswa na bakteria aina ya Campylobacter jejuni. Ugonjwa huu husababishwa na bakteria hawa wanaopatikana kwenye nyama mbichi ya kuku na dalili zake ni pamoja na maumivu makali ya tumbo, kuharisha,kutapika, homa kali na kujiskia vibaya baada ya kutumia nyama ya kuosha au kutumia nyama ya kuku isiyo iva vizuri.
SOMA ZAIDI:http://www.bbc.com/news/health-27832220



KWA MSAADA ZAIDI BONYEZA HAPA AU ACHA COMMENT YAKO CHINI

No comments:

Post a Comment

.