Monday 24 March 2014

FAIDA YA KULA NDIZI KWA WAGONJWA WA MOYO NA FIGO

Kula ndizi, ni muhimu sana kwa afya zetu kwani husaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kama myocardial infarction, kiharusi na kudhibiti shinikizo la damu.

soma na hii:>>>>MAGONJWA HATARI YANAYOTIBIWA NA MBEGU ZA MABOGA

Pia ndizi huweza  kuzuia matengenezo ya vidonda vya tumbo na duodenal ulcer pamoja na kuzuia homa na kuzeeka kwa ngozi kutokana na kuwa na vitamini C na E.

Aidha Ndizi inapendekezwa kuwa ni mlo wa kila siku kwa ajili ya watu wanaosumbuliwa na magonjwa wa figo na moyo.

No comments:

Post a Comment

.