Monday 22 December 2014

ATHARI ZA KUPIGA MSWAKI MARA KWA MARA KWA KUTUMIA NGUVU.

Kupiga mswaki mara nyingi na kwa maguvu kunaweza kupelekea kukwangua sehemu ngumu ya nje ya jino, kulifanya laini na hatimaye kuuma au hata kuvunjika.  Unashauriwa kupiga mswaki mara mbili, taratibu na kwa njia sahihi ili kusaidia meno kuwa na afya bora. BOFYA HAPA KULIKE PAGE NA WAELIMISHE MARAFIKI

No comments:

Post a Comment

.