Saturday 20 December 2014

DALILI NA TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Upungufu wa mbegu za kiume uchangiwa na kurithi magonjwa mbalimbali yanayoathiri mirija ya uzazi,  korodani na upungufu wa hormoni ya kiume (testosterone), kuumia kwa korodani, joto na unene kupita kiasi, ukosefu wa lishe asa zenye zinc, selium na vitamin C na D, kuvaa nguo za kubana muda mrefu, uvutaji wa sigara unyaji wa pombe na matumizi ya madawa kupita kiasi, unene kupita kiasi, maambukizi ya zinaa kwa muda mrefu, msongo wa mawazo na athari za mazingira kama sumu na mionzi.


DALILI ZAKE Kukosa hamu ya kufanya mapenzi Kushindwa kusimamisha uume. Kuvimba au kuuma kwa korodani Kupungua kwa nywele za kiume asa ndevu, sharubu na nywele za kifuani. Kukosa mtoto baada ya mwaka mmoja wa kufanya mapenzi bila kinga. Kuota maziwa kama mwanamke. TIBA YAKE Kula LISHE BORA, yenye kiasi kikubwa cha nafaka na matunda. Punguza msongo wa mawazo. Epuka uvutaji wa sigara, pombe na madawa kupita kiasi Punguza kasi ya kufanya mapenzi au kupiga punyeto Epuka nguo zinazobana na kuweka korodani katika joto kali. Tatizo likizidi nenda hosipitali kwa uchunguzi na tiba asa inayohusisha upasuaji, dawa na ushauri. USIPITWE BOFYA HAPA NA LIKE PAGE YETU KWA USHAURI NA TIBA ZAIDI.

No comments:

Post a Comment

.