Sunday 26 October 2014

DALILI KUMI ZA MALARIA AMBAZO HUPASWI KUPUUZA.

1. Homa kali
2. maumivu kwenye viungo na mgongo,
3. kichefuchefu,
4. kutapika,
5. kuharisha,
6. maumivu ya kichwa,
7. kutokwa jasho nyakati tofauti,
8. kizunguzungu,
9. degedege hasa kwa watoto wadogo.

10. kupoteza fahamu.

No comments:

Post a Comment

.