Saturday 25 October 2014

TIBA KWA WANAOTOA HARUFU MBAYA MDOMONI

Harufu mbaya ya mdomo husababishwa na kutofanya usafi  pamoja na maambukizi sehemu  mbalimbali za mdomoni au kwenye njia ya hewa  Ili huweze kupunguza na kuzuia hali hiyo fanya yafuatayo:


  1. Fanya usafi wa mdomo na kunywa maji mengi mara kwa mara
  2. Kila baada ya chakula weka maji mdomoni na sukutua kwa muda wa sekunde kadhaa ili kuondoa mabaki ya chakula.
  3. Baada ya kula unaweza kutafna  mchanganyiko wa mbegu za  iliki na  karafuu ambazo husaidia kupunguza harufu mbaya mdomoni
  4. Pia unaweza kusuuza mdomo kwa kutumia mchanganyiko  wa Mdalasini, iliki na  karafuu kuua vijidudu na vimelea mbalimbali mdomoni na katika njia ya hewa
  5. Pia unaweza kusafisha mdomo kwa Juice ya limao kwani huzuia kukua na kuenea kwa bakteria na fungasi
  6. Kama umefanya yafuatayo na bado tatizo linaendelea muone dakitari kwa matibabu zaidi. 
  7. BOFYA HAPA KULIKE PAGE NA WAELIMISHE MARAFIKI. 

No comments:

Post a Comment

.