Tuesday 21 October 2014

KUHUSU MCHEZAJI ALIYEFIA UWANJANI AKISHANGILIA BAO

Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala 23 amefariki kutokana na majeraha ya uti wa mgongo aliyoyapata baada ya kuanguka vibaya uwanjani akisherehekea goli alilosawazisha  dhidi ya Chanmari West FC. Mchezaji huyu akifariki muda mfupi baada ya kukimbizwa hosipitali na kufanyiwa upasuaji. 

No comments:

Post a Comment

.