Saturday 16 August 2014

MAMBO YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUKOSA MTOTO

  1. Uterine Septum(Mfuko wa uzazi kutengana)
  2. Blockage(kuziba kwa mirija ya uzazi)
  3. Polycystic Ovaries( Vimbe nyingi katika ovari)
  4. Polyps(Tishu za ukuta wa mji wa mimba kujitokeza ndani ya mji wa mimba)
  5. Infections(Maambukizi)
  6. Fibroids (Uvimbe)
  7. Endometriosis(Tishu za mfuko wa uzazi kujishikiza nje ya mfuko wa uzazi)
  8. Scar tissue(Makovu katika njia ya uzazi)
Haya ni matatizo ambayo 8 ambayo yanaweza kupelekea mwanamke kukosa mtoto. Usikose kutembelea blog hii tutaelezea nini usababisha, dalili zake na matibabu yake.

No comments:

Post a Comment

.