Wednesday 13 August 2014

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA EBOLA.

Wizara ya afya na ustawi wa jamii imetoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola na kuwataka wananchi kujikinga na kutokuwa na hofu endapo ugonjwa huu utaingia hapa nchini. Kujua dalili, njia za kujikinga soma zaidi kutoka tovuti ya wizara ya afya http://www.moh.go.tz/images/newsroom/Press_Release_2.pdf

No comments:

Post a Comment

.