Tuesday 23 September 2014

TAMBUA DALILI ZA AWALI ZA SARATANI YA MATITI.

Uonapo dalili hizi wahi hosipitali kwa ajili ya uchunguzi na tiba ya saratani ya matiti mapema.
  • Uvimbe kwenye matiti au kwapa
  • Mabadiliko katika umbo la matiti
  • Chuchu kutoa usaa ama titi kuwa nyororo
  • Chuchu kupotelea ndani ya matiti badala ya kujitokeza nje
  • Madutamaduta kwenye matiti kama yale ya maganda ya machungwa
  • Kubadilika kwa ngozi ya matiti na chuchu kuonekana zimefura

No comments:

Post a Comment

.