Wednesday 17 September 2014

KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEJINYONGA KWA KUKOSA MATIBABU MKOANI KAGERA

Mwanafunzi wa kidato cha 5 shule ya sekondari Ihungo Ezera Gerald (19) Ameamua kujinyonga kwa kutumia shuka lake katika hospital ya mkoa wa Kagera baada ya kulazwa hospitalini hapo bila kupata huduma na kuacha ujumbe akisema si halali kwa mwanadamu kutibiwa kama mnyama.
Kutokana na tukio ili la kusikitisha unahisi nani alaumiwe na unajifunza nini? Tupe maoni yako kupitia FACEBOOK
Chanzo: ITV

No comments:

Post a Comment

.