Friday 12 September 2014

MAZOEZI YATAKAYOKUSAIDIA KUFAULU MITIHANI

Tafiti zinaonesha kuwa mazoezi ya kutembea, kuendesha baiskeli, kusoma vitabu, chemsha bongo, michezo ya uwanjani, tv na kompyuta husaidia sana katika ufaulu wa mitihani kwa wanafunzi kwa kuongeza akili ya kufikiria haraka na utunzaji wa kumbukumbu kichwani.
BOFYA HAPA KUUNGANA NASI FACEBOOK USIPITWE NA MENGI ZAIDI.

No comments:

Post a Comment

.