Thursday 18 September 2014

KUTANA NA MUUGUZI ALIYEPONA EBOLA NA ANAWASIDIA WAGONJWA WENGINE

Will Pooley ni muuguzi aliyepona virusi vya Ebola baada ya kutibiwa  katika hosipitali ya Royal kusini mwa jiji la London kwa muda wa wiki mbili. Muuguzi huyu anategemea kusafiri kwenda Marekani kwa ajili ya kuwasaidia wahathirika wa Ebola kwa kujitolea damu ambayo inasadikiwa kuwa tayari ina kinga dhidi ya virusi hivi.
CHANZO:BBC

No comments:

Post a Comment

.