Wednesday 5 November 2014

FAIDA YA KUNYWA MAJI MENGI KWA AFYA YA FIGO.

Wataalamu wa afya wanashauri kunywa maji mengi ili kuhakikisha walahu unatoa mkojo kiasi cha lita mbili kwa siku kwa ajili ya kuzuia ugonjwa wa mawe katika figo pamoja na kuondoa maambukizi katika njia ya mkojo(U.T.I)

No comments:

Post a Comment

.