Sunday 16 November 2014

TIBA NA MAMBO YANAYOSABABISHA KUKOSA CHOO KWA MUDA MREFU.

kukosa choo.
(1 ) Upungufu wa vitamini
mwilini hasa vitamin B .
( 2) Maradhi ndani ya utumbo
mpana.
(3 ) Kula vitu vigumu na vikavu
kama vile vyakula vya ngano .
(4 ) Upungufu wa ulaji matunda
na mboga.
( 5) Kutokunywa maji ya
kutosha .
(6 ) Upungufu wa fibre kwenye
chakula zinazopatikana kwenye
maganda ya mahindi.
(7 ) Ukosefu wa kufanya mazoezi
ya viungo .
(8 ) Msongo wa mawazo na
kutokula vyakula vyenye nyuzi
nyuzi.
BOFYA HAPA KULIKE PAGE NA
WASILIANA NASI KWA MSAADA
ZAIDI.

No comments:

Post a Comment

.