Sunday 2 November 2014

MADHARA YA KUJIKUNA UNAPOWASHWA.



Kujikuna husababisha mfumo wa fahamu kutoa hormone iitwayo serotonin ambayo huongeza muwasho na maumivu  zaidi katika ngozi. Hii pia husababishwa na mishipa ya fahamu katika uti wa mgongo ambayo hupeleka taarifa ya kuwashwa kama maumivu katika ubongo ambao hutoa hormone ya  maumivu (serotonini) hivyo kuongeza kasi ya muwasho na maumivu ndani ya ngozi.

No comments:

Post a Comment

.